Mkurugenzi wa Vijana Taifa atoa Semina kwa Vijana Mkoani Tanga.

 

Profesa Elisante Ole Gabriel, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Taifa akiwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Chiku Gallawa mara baada ya kuwasili mkoani hapa kwa ajili ya semina ya vijana

Mgeni rasmi Bw. Ramadhani  Kaswa, Mkuu wa kitengo cha Mipango  katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa akifungua semina hiyo. Bw. Kaswa amemwakilisha Katibu Tawala Mkoa.

   Profesa Elisante Ole Gabriel akitoa semina

  Kaimu Afisa Vijana Mkoa wa Tanga Bi Digna Tesha akiteta jambo wakati  wa  semina 

Baadhi ya vijana waliohudhuria semina.  Ni Maafisa vijana na vijana wa wenye umri wa miaka 15 hadi 35 kutoka Halmashauri zote mkoani Tanga
Kaimu Katibu Tawala Bi. Monica Kinara akipokea risala ya vijana kutoka kwa mwakilishilishi wa Vijana
 
 
 


Written by

0 comments: