Taswira Ya Maadhimisho Ya Miaka 38 Ya CCM Yaliyofanyika KiMkoa Wilayani Muheza

    Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Magalula S. Magalula akielezea utekelezaji wa Ilani ya CCM katika Mkoa wa Tanga wakati wa Maadhimisho ya 38 ya CCM yaliyofanyika Kimkoa katika Wilaya ya Handeni. Miongoni mwa mafanikio ni  Uongezekaji wa Shule za Msingi na za Sekondari, ujenzi wa Maabara na Zahanati kwa kila kijiji, Umeme wa REA Vijijini, Barabara za Lami na pia amekipongeza chama cha mapinduzi kwa  ushindi wa Kishindo wakati wa chaguzi za serikali za Mitaa.


   Jumla ya wananchama wapya 200 wamejiunga na Chama cha Mapinduzi kutoka vyama pinzani. Pichani mmoja wa wanachama wapya akipokea kadi yake ya CCM kutoka kwa Katibu wa CCM Mkoa Bw. Shija Othuman
Baadhi ya Washiriki kwenye Maadhimisho



Written by

0 comments: