Taswira Ya Maadhimisho Ya Miaka 38 Ya CCM Yaliyofanyika KiMkoa Wilayani Muheza
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Magalula S.
Magalula akielezea utekelezaji wa Ilani ya CCM katika Mkoa wa Tanga wakati wa
Maadhimisho ya 38 ya CCM yaliyofanyika Kimkoa katika Wilaya ya Handeni. Miongoni mwa mafanikio ni Uongezekaji wa Shule za Msingi na za
Sekondari, ujenzi wa Maabara na Zahanati kwa kila kijiji, Umeme wa REA Vijijini,
Barabara za Lami na pia amekipongeza chama cha mapinduzi kwa ushindi wa Kishindo wakati wa chaguzi za
serikali za Mitaa.
Jumla ya wananchama wapya 200 wamejiunga na
Chama cha Mapinduzi kutoka vyama pinzani. Pichani mmoja wa wanachama wapya
akipokea kadi yake ya CCM kutoka kwa Katibu wa CCM Mkoa Bw. Shija Othuman
Baadhi ya Washiriki kwenye Maadhimisho
0 comments: