3:25 PM
Posted by
Unknown
TANGAZO Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (TANGA UWASA) inawatangazia wakazi wa jiji la Tanga kuwa kutakuwa na ukosefu wa maji siku ya Alhamisi ya Tarehe 16/4/2015. Hii inatokana na TANESCO kufanya ukarabati wa nguzo katika maeneo ya mitambo ya maji Pande. Wananchi mnashauriwa kuhifadhi maji ya kutosha. Huduma inatarajiwa kurejea kama kawaida siku ya Ijumaa tarehe 17/4/2015. Mamlaka inaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza. Imetolewa...
Read more
5:16 PM
Posted by
Unknown
Mhe. Magalula Said Magalula , Mkuu wa Mkoa wa Tanga akikata utepe uliofungwa kwenye kitabu kuashiria uzinduzi wa Mpango wa Miaka mitano wa Ukimwi katika Mkoa wa Tanga wakati wa kikao cha Ushauri cha Mkoa wa Tanga (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga mwishoni mwa wiki. Mada mbalimbali ziliwasilishwa na kujadiliwa katika kikao hicho zikiwemo mada juu ya Taarifa ya upatikananji...
Read more
4:23 PM
Posted by
Unknown
Mkoa wa Tanga umekuwa mwenyeji wa maadhimisho ya Kitaifa ya Utepe Mweupe wa Uzazi salama yaliyofanyika Machi 15 mwaka huu. Wiki ya Utepe mweupe ilianza tarehe 10 ambapo iliambatana na shughuli mbalimbali zilizolenga kuhakikisha vifo vya mama na mtoto vinavyozuilika vinatokomezwa. Katika Kupata sauti za Wananchi, Wakazi wa Wilaya tano za Mkoa wa Tanga ambazo ni Kilindi, Handeni, Korogwe, Muheza na Jiji la Tanga walipata fursa ya kutoa...
Read more
3:50 PM
Posted by
Unknown
Wajumbe wa Bodi ya Barabara Mkoa wa Tanga wamesikitiswa na baadhi ya tabia za Wakazi wa Tanga ambao kwa makusudi kabisa wamekuwa wakifanya uharibifu katika barabara hasa zile zenye lami. Hayo yamebainika katika kikao cha pili cha bodi ya barabara kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mku wa Tanga siku ya alhamisi ya Machi 2015 kuanzia saa tatu asubuhi. Akifungua kikao hicho Mkuu wa...
Read more